.

.
.

.

.
.

.

.

Saturday, June 2, 2018

NAFASI ZA KOZI YA UALIMU

Mkuu wa chuo cha ualimu Nyamahanga anatangaza nafasi ya kozi ya miaka miwili ya ualimu daraja "A" kwa mwaka wa masomo 2018/2019.

KWANINI UJIUNGE NA CHUO CHA UALIMU NYAMAHANGA?

  • Chuo kina miundo mbinu bora,madarasa yenye kiwango,Mabweni mazuri,Maktaba ya kompyuta.
  • Chuo kina Maktaba yenye vitabu vya kutosha, mazingira bora ya kufundishia na kujifunzia na wakufunzi bora waliobobea katika ufundishaji.
  • Chuo kina ufaulu mzuri sana tangu kilipoanza hadi sasa.


 SIFA ZA MWOMBAJI:

  • Awe amehitimu kidato cha nne na mwenye ufaulu usiopungua Division III, Point 25.
KWA MAWASILIANO ZAIDI,KUPATA NA KUTUMA FOMU YA KUJIUNGA NA CHUO:


Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Ualimu Nyamahanga,
S.L.P 25,
Biharamulo,
Kagera.

Email:nyamahangatc@gmail.com

Simu : 0688381381/ 0756281824 / 0767894537/ 0759329597
.

                                      Karibu sana Chuo cha Ualimu Nyamahanga
                                               "ELIMU NA MAADILI MEMA"

No comments:

Post a Comment